JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BIA YA ASILI YA NZAGAMBA YAZINDUA PROMOSHENI YA AINA YAKE KANDA YA ZIWA

Share This
 Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo akionyesha kwa waandishi wa habari Bia hiyo ya Asili inayopatika maeneo ya Kanda ya Ziwa, wakati uzinduzi wa Promosheni yake itakayowawezesha wanywaji wa Bia hiyo kujishindia Ng'ombe kila wiki. Uzinduzi huo umefanyika leo Julai 19, 2016 kwenye Kiwanda cha Nzagamba, Iloganzala Jijini Mwanza. Kulia ni Meneja Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo.
 Meneja Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo akionyesha moja ya maboksi yatakayotumika kwa washiriki wa Promosheni ya Bia hiyo ya asili ya Nzagamba itakayowawezesha wanywaji wake wa Kanda ya Ziwa kujishindia Ng'ombe kila wiki, wakati wa uzinduzi wa Promosheni hiyo, uliofanyika kwenye Kiwanda cha Nzagamba, Iloganzala Jijini Mwanza. Kulia ni Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo.
Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo akionyesha kwa mfano namna ya kushiriki Promosheni hiyo ya Nzagamba. Wengine pichani ni Meneja Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo (aliebeba boksi), pamoja na Ma Meneja Usambazaji wa Bia ya Asili ya Nzagamba, James Makalla (kulia) na Peter Mwambenja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad