JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MWAKILISHI MKAZI WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI(WHO), HAPA NCHINI AMALIZA MUDA WAKE, AMUAGA WAZIRI WA AFYA.

Share This
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Tanzania Dkt.Rufaro Chatora akiongea na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati alipoenda kumuaga rasmi ofisini kwake Dkt.Chatora amemaliza muda wake wa kufanya kazi nchini Tanzania na hivyo kuhamishiwa nchini Afrika ya Kusini
Waziri Ummy Mwalimu akifanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Tanzania Dkt.Rufaro Chatora Dkt.Chatora amesisitiza wizara kujenga uwezo wa ndani katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu kwa kushirikiana na wizara ya maji, mazingira pamoja na elimu.

Vile vile alishauri Serikali kuongeza nguvu katika huduma ya mama wajawazito pamoja na kuwekeza katika magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo hivi sasa yanaongezeka kwa kasi na kuathiri jamii

amemshukuru kwa ushirikiano wake katika sekta ya afya tangu awepo nchini na ameahidi kuendelea kutekeleza yale yote aliyoishauri wizara

(Picha na Wizara ya Afya)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad