wadau mgeni kaingia tumpokee
Monday, December 21, 2009
Pole sana na kazi yako nzito ya kutupa taarifa mbalimbali kwa kupitia blogu yako bab’ kubwa
.Kwa niaba ya kampuni ya King Kipf Productions ya jijini Dar es Salaam, na Blogu ya http://www.kingkif.blogspot.com/ ninakuomba ututangazie blog yetu hii ya:kingkif.blogspot.com.Kwenye blog yako ili tuweze kuwafikia wanaulimwengu wenzetu mbalimbali ili waweze kupata taarifa ya mambo mbalimbali yanayoendelea kwenye sayari hii.
Kufanikiwa kwa jambo hili itasaidia kwa namna moja ama nyingine watu kupiga hatua kubwa. wako Mkurugenzi King Kif ProductionsSigfred Peter.
.Kwa niaba ya kampuni ya King Kipf Productions ya jijini Dar es Salaam, na Blogu ya http://www.kingkif.blogspot.
Kufanikiwa kwa jambo hili itasaidia kwa namna moja ama nyingine watu kupiga hatua kubwa. wako Mkurugenzi King Kif ProductionsSigfred Peter.
















































































Juddy ambaye ni mwandaaji wa Shindano la Kisura Tanzania akimkabidhi mshindi hundi yenye dhamani ya shilingi milioni tano mshindi wa kwanza wa shindano hilo Diana Ibrahim. 


Huyu nae hakuwa nyuma katika kushuhudia shindani hilo.



















