Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa ubunifu wa Samani za Majumbani katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa zana za kilimo za mashine za Kilimo pamoja na Ufugaji katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa mashine ya kuchanganya chakula cha mifugo katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akiingalia Asali katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)


No comments:
Post a Comment