JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Naibu Waziri Nderiananga akutana na kufanya mazungumzo na RC Morogoro

Share This

 

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima alipomtembelea ofisini kwake kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi ya AFDP inayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu. 


Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima alipomtembelea ofisini kwake kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi ya AFDP inayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu. 
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga  akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima alipomtembelea ofisini kwake kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi (AFDP)inayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad