Pia wakati mwingine ni tatizo hili hili ambalo limewafanya baadhi ya watu tena ndugu kugombea maiti. Kama watu wanaelewa vyema habari ya wosia na haki za kila mtu katika wosia sioni haja ya ndugu kugombea maiti au baadhi ya mambo ambayo marehemu pengine ameyatolea ufafanuzi kabla ya kifo chake.
Kuna wosia wa aina mbili,. Kwanza wa maandishi na pili wa maneno. Leo sisi tunaangalia wa maneno lakini kwanza wosia ninini.


No comments:
Post a Comment