JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA WOSIA WA MANENO NI WOSIA HALALI KISHERIA?

Share This
Wosia ni jambo kati ya mambo ambayo huwasumbua watu wengi. Sababu ya kuwasumbua wengi ni lile lile tu kuwa ufahamu wa mambo ya sheria haujawa wa kutosha katika jamii. Tatizo la wosia limepelekea magomvi makubwa ya kifamlia hasa wakati wa misiba au baada ya misiba.

Pia wakati mwingine ni tatizo hili hili ambalo limewafanya baadhi ya watu tena ndugu kugombea maiti. Kama watu wanaelewa vyema habari ya wosia na haki za kila mtu katika wosia sioni haja ya ndugu kugombea maiti au baadhi ya mambo ambayo marehemu pengine ameyatolea ufafanuzi kabla ya kifo chake.

Kuna wosia wa aina mbili,. Kwanza wa maandishi na pili wa maneno. Leo sisi tunaangalia wa maneno lakini kwanza wosia ninini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad