Msanii
wa Bongo Muvi na Majasiliamali na mshawishinkatika upande wa sanaa,
Rose Ndauka akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu jijini Mwanza katika
semina iliyofanyika leo katika chuo kikuu cha Makatifu Agustino jijini
humo.
Msemaji
na innovator katika fursa za kimataifa, Banji Fernandes akizungumza na
wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya jijini Mwanza kwaajili ya kuwavutia kwa
njia mbalimbali kutokana na aliyoyapitia katika maisha ya shule pamoja
na maisha ya Kawaida.Pia amewashauri wanafunzi hao wa vyuo vikuu vya
jijini Mwanzakusoma kwa bidii pamoja na kuwa wavumilivu kwenye vikwazo
mbalimbali wanavyokutana navyo. Hayo yamesemwa katika semina fupi ya
kuwashawishi iliyoandaliwa na Taasisi ya her initiative Present PANDA
iliyofanyika katika Darasa la M12 katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu
Augustino jijini Mwanza leo.
Msanii
wa Bongo Muvi na Majasiliamali na mshawishinkatika upande wa sanaa,
Rose Ndauka akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu jijini Mwanza katika
semina iliyofanyika leo katika chuo kikuu cha Makatifu Agustino jijini
humo.
Mchekeshaji
na Mshindi wa Big Brother Afrika 2014,Idrisa Sultan akizungumza leo
katika semina ya kuwashawishi wanafunzi wa vyuo vikuu jijini Mwanza
iliyofanyika katika Darasa la M12 katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu
Augustino jijini Mwanza.
Mwanzlishi wa Taasisi ya Her Initiative Presents PANDA, Moureen akizungumza na katika semina ya kuwashawishi wanafunzi wa vyuo vikuu jijini Mwanza
iliyofanyika katika Darasa la M12 katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu
Augustino jijini Mwanza Leo.
Baadhi
ya wananfunzi wa vyuo vikuu vya jijini Mwanza wakiwasikiliza watoa
maada katika semina iliyofanyika katika chuo cha Mtakatifu Augustino
jijini Dar es Salaam leo.
Selfii time
zawadi.
No comments:
Post a Comment