JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AKABIDHI HUNDI KWAAJILI YA KUFIDIA WACHUMAJI WA KARAFUU

Share This
Rais wa Zanzibar Dk. Alli Mohamed Shein akikabidhi hundi ya TZS 60,000,000/- kwa Mkurugenzi wa Shirika la Bima Zanzibar kwa ajili ya malipo ya fidia kwa wachumaji wa Karafuu watakaopata ajali Zanzibar.
Watendaji wa Shirika la ZSTC wakitoa msaada wa vifaa kwa vikundi vya Ushirika vya Uwatikaji miche Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la ZSTC akiwa ameshika tunzo ya Kimataifa ya ubora wa bidhaa na huduma kutoka Spain.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad