JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BALOZI WA AFRIKA KUSINI ASHIRIKI KUFANYA USAFI MHIMBILI

Share This
 Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Thami Mseleku akifanya usafi katika Wodi (A) ya Watoto iliyopo katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.
Muunganishi wa Makazi katika Umoja wa Mataifa,Alvaro Rodriguez (wa kwanza kutoka kushoto),Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku (wa pili) wakiwa na baadhi ya wawakilishi wakipokea misaada kwa niaba ya walezi wengine.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),Dkt.Othman Kiloloma akizungumza na waandishi wa habari juu ya msaada waliopokea kutoka kwa Umoja wa Mataifa,,ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.
Baadhi ya wadau wakiendelea na usafi katika sehemu ya maadhimisho ya  ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela. 

 
 Baadhi ya washiriki waliofanya usafi hospitali ya  Mhimbili Wakiwa katika picha ya pamoja. 
PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad