Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) Profesa Haruni Mapesa akisaini Kitabu wakati alipotembelea Banda la TIA katika Wiki ya Elimu Kitaifa ,Ujuzi na Ubunifu inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara,Jijini Tanga.

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) Profesa Haruni Mapesa akipata maelezo kutoka Mkuu wa Sehemu - Ukuzaji na Uendelezaji wa wanafunzi kitaaluma na kitaalam wa TIA Imani Matonya kuhusiana na bunifu mbalimbali wa wanafunzi na wahitimu was TIA walizoleta katika Maonesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu ,Ujuzi na Ubunifu Kwakati Mkuu wa Chuo hicho alipotembelea Banda la TIA katika Wiki ya Elimu Kitaifa ,Ujuzi na Ubunifu inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara,Jijini Tanga.
Baadhi ya Wahitimu na Wanafunzi wa TIA ambao wenye bunifu ambazo zimesimamiwa TIA kwenye maonesho ya Wiki ya Elimu Kitaifa ,Ujuzi na Ubunifu inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara,Jijini Tanga.




No comments:
Post a Comment