JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Dau Dogo, Mshindo wa Maana Hapa

Share This

 


SIKU ya kutengeneza mkwanja na wakali wa ubashiri umefika, mechi mbalimbali zingine zikiwa za ligi zimeanza. Ukiwa na pesa yoyote hata shilingi mia mbili unaweza ukbashiri hapa.

Tukianza na kule Uingereza itapigwa mechi ya ufunguzi wa ligi yaani Community Shield kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City ambao walimaliza msimu wakishika nafasi ya pili huku vijana wa Arteta wao wakichukua Kombe hilo la EPL baada ya kusubiri kwa takribani miaka 23.

Hii ni mechi ambayo kila timu inataka kuonesha ubabe wake mbele ya mwenzake huku mabingwa hao watetezi wa ligi wanataka akuuthibitishia Ulimengu kuwa haikuwa bahati kwao kubebea ndoo ya ligi bali uwezo na ubora ambao wachezaji walionesha ndio chanzo cha mafanikio yao.

Kwa upande wa Manchester City wao baada ya kuondoka kwa kocha wao wa muda mrefu ambaye aliwapa mafanikio Pep Guardiola, na sasa timu ipo chini ya kocha mkuu Enzo Maresca wanataka kuonesha pia ubora wao hivyo Community Shield itakuwa mtihani muhimu wa kwanza wa ushindani kwa kocha huyo mpya wa klabu hiyo. Jisajili hapa.

Vilevile Meridianbet inakwambia tengeneza mkwanja kupitia michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile, Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Arsenal kama inavyojulikana ni timu ambayo inapeda kucheza mpira wa kujilinda zaidi huku wakipewa sapoti nzuri na wachezaji ambao wanao kama vile Mosquera, Gabriel Malgahaes, Saliba, David Raya kwenye eneo la ulianzi lakini pi ani timu ambayo imekuwa ikitumia vyema kabisa mipira iliyokufa, kama vile kona na free kick hivyo City inabidi wawe makini zaidi. Pia Arsenal imeongeza wachezaji akama vile Guimaraes, Illan Meslier waje kuongeza ngu klabuni.

The Citizens wao wanapenda kushambulia zaidi kutokana na uwepo wa wachezaji wenye kasi kama vile Erling Haaland ambaye ni mfungaji bora wa EPL, Jeremy Doku, Foden na wachezaji wengine kama vile Cherki hivyo ambaye aatatumia nafasi zake vizuri huenda akaweza kuibuka na taji hili.

Je nani anaweza akaondoka na ushindi wa Ngao ya Jamii?. Odds kubwa zipo hapa ingia na ubeti sasa.

Kule Ufaransa pia kutakuwa na mchezo mkali wa Trophee des Champions kati ya RC Lens dhidi ya PSG ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1, timu hii imeendeleza ubabe wake wa kutawala ligi hiyo wakiwa na wachezaji wenye ubora wa hali ya juu kabisa ukilinganisha na mpinzani wao.

PSG chini ya kocha mkuu Luis Enrique wamekuwa na ubora wa hali ya juu huku wakimaliza msimu kwa kubeba taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA), lakini pia wameweza kuchukua taji la UEFA SUPER CUP dhidi ya Aston Villa na hii ni kuthibitisha kuwa ni timu yenye uwezo wa hali ya juu.

Lens wao ni timu ya daraja la kati kwani ilimaliza msimu bila kuchukua taji lolote, lakini iliweza kumaliza nafasi ya 2 kwenye ligi baada ya kuweza kujikusanyia pointi zao 70, lakini takwimu zinaonesha kuwa mechi mbili walizokutana na Paris waliweza kupoteza zote kwenye ligi bila hata kuweza kupachika bao lolote.

Hii ni mechi ya ufunguzi wa ligi huku wenyeji wao wakitaka kulipa kisasi. Lakinbi je wataweza mbele ya vijana hawa wa Enrique?. Kila timu imeweza kufanya usajili msimu huu ili kuimarisha kikosi chao.

Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kuondoka na ushindi PSG kutokana na ubora wa wachezaji kama vile Kvaratskhelia, Dembele, Doue na wengine wengi ambao kwa pamoja wanaifanya timu hiyo iweze kufanya vyema kabisa. Bashiri hapa sasa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad