JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Mkurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania akutana na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe kuimarisha Mahusiano ya kibiashara

Share This

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto), akiwa na Bw. Nathan Belete, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, baada ya mkutano wa kimkakati wa kibiashara uliofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Hyatt Regency Park jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulilenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizo mbili.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto), akizungumza na Bw. Nathan Belete, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, baada ya mkutano wa kimkakati wa kibiashara uliofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Hyatt Regency Park jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulilenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizo mbili.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kulia), akiagana na Bw. Nathan Belete, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, baada ya mkutano wa kimkakati wa kibiashara uliofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Hyatt Regency Park jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulilenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizo mbili. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad