IJUMAA ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3.
Tukianza na BUNDESLIGA pale Ujerumani, Bayer Leverkusen atakipiga dhidi ya VFL Bochum ambao wapo nafasi ya 3 kutoka mwisho. Vijana wa Alonso wapo nafasi ya pili huku ushindi huu wa leo utamfanya apunguze gepu la pointi na kinara wa ligi. Mara ya mwisho kukutana timu hizi mbili, walitoshana nguvu. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 1.25 kwa 11. Bashiri hapa.
LIGUE 1 kule Ufaransa pia kuna mtanange mmoja kati ya Strasbourg vs Lyon ambao wanashika nafasi ya 5. Tofauti ya pointi kati yao ni 2 pekee huku nafasi ya kuondoka na ushindi pale Meridianbet akipewa mgeni kwa ODDS 2.60 kwa 2.70. Je beti yako unaiweka wapi kwa hawa wawili?. Suka jamvi hapa.
Ijumaa ya kuibuka bingwa hii hapa ambapo zaidi ya mamilioni kutolewa leo. Pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Keno, Poker, Roullette, Keno, na mingine kibao.
Pale Uingereza, CHAMPIONSHIP pia kitawaka vilivyo Sheffield United atakipiga dhidi ya Coventry City ambao mechi yao iliyopita wakishinda halikadhalika kwa mwenyeji naye aliondoka na ushindi. Mara ya mwisho kukutana walitoa sare. 2.16 kwa3.55. Jisajili hapa.
Vilevile unaweza ukabashiri mechi za Uturuki yaani SUPER LIG ambapo Antalyaspor atacheza dhidi ya Alanyaspor ambao kushinda mechi hii wamepewa ODDS 3.00 kwa 2.43. Tofauti yao ni pointi 2 pekee huku mgeni akitaka kulipa kisasi leo baada ya kupigika mechi ya mwisho walipokutana. Suka jamvi hapa.
Ifikapo saa 2;30 usiku Konyaspor atamenyana dhidi ya Gaziantep FK ambapo Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 2.12 kwa 3.40. Mgeni yupo nafasi ya 6 na mwenyeji wake nafasi ya 13, tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 7. Nani kukupatia mzigo wa maana leo?. Tengeneza jamvi hapa.
Pia vijana wa Mourinho Fenerbahce watakuwa ugenini kusaka pointi 3 dhidi ya BB Bodrumspor ambao wanataka kulipa kisasi baada ya kupasuka mechi yao iliyopita. Meridianbet wanaipa nafasi kubwa ya kushinda mgeni kwa ODDS 1.50 kwa 6.20. Jisajili hapa.
Pale Ureno PRIMEIRA LIGA itaendelea ambapo Gil Vicente Barcelos atamualika kwake Benfica ambao wapo nafasi ya 2 wakati mwenyeji yeye yupo nafasi ya 14. Mwenyeji alikumbana na kipigo kizito mara ya mwisho walipokutana. Je leo hii atalipa kisasi?. 9.80 kwa 1.32 ndio ODDS za mechi hii. Bashiri hapa.
No comments:
Post a Comment