JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MATUKIO KATIKA PICHA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU BALOZI NCHIMBI NCHINI ETHIOPIA

Share This


KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akipokelewa na Mhe. Dkt. Girma Amente, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Prosperity Party (PP), chama tawala cha Ethiopia na pia Waziri wa Kilimo wa Serikali ya nchi hiyo, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole. Balozi Nchimbi amewasili nchini Ethiopia kwa ajili ya ziara ya kikazi, kufuatia mwaliko wa PP.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad