Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Stanslaus Nyongo (wa tatu kushoto) akikabidhi tuzo ya Benki Bora kwa kutoa Huduma Bora rafiki za Mikopo nchini Tanzania kwa Mkurugenzi wa Sheria na Udhibiti wa Sera na Kanuni wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Irene Sengati Giattas, wakati wa hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji, iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni wakuu wa vitengo mbalimbali wa benki hiyo.


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser ( wa pili kushoto) akionesha tuzo ya Benki Bora inayopendwa zaidi na inayofikika zaidi Kusini mwa Afrika wakati wa hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji, iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni wakuu wa vitengo mbalimbali wa benki hiyo.

No comments:
Post a Comment