JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


INGIA UVUVINI NDANI YA MERIDIANBET USHINDE MKWANJA

Share This

 


JE, Unapenda Uvuvi? Meridianbet Kasino ya Mtandaoni imekuandalia safari ya kushangaza kwa ajili yako mwezi huu wa Septemba!

Endelea kucheza moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni hapa chini, na unaweza kushinda zawadi kabambe na pesa kibao!

• Big Bass Bonanza: Keeping it Real
• Big Bass Bonanza: Amazon Extreme
• Big Bass Bonanza: Hold & Spinner
• Big Bass Bonanza: Hold & Spinner Megaways
• Big Bass Bonanza: Splash
• Big Bass Bonanza: Blizzard Christmas Catch
• Bigger Bass Bonanza
• Christmas Big Bass Bonanza
• Big Bass Bonanza

Mashindano haya ya uvuvi yameanza tarehe 07 mwezi Septemba na kumalizika tarehe 21 mwezi Septemba saa 23:59:59.
Wateja watakaoshinda idadi kubwa ya pointi za michezo hii ya kasino ya mtandaoni watapata zawadi zifuatazo:

Nafasi ya kwanza atajishindia TZS 1,500,000 Pesa taslimu.
Nafasi ya pili atajishindia TZS 1,000,000 Pesa taslimu.
Nafasi ya 3 mpaka ya 5 watajishindia TZS 500,000 Pesa taslimu.
Nafasi ya 6 mpaka ya 10 watajishindia TZS 250,000 Pesa taslimu

Jinsi ya kupata pointi na ushindi kwenye kasino ya mtandaoni

Cheza moja ya michezo 9 ya kasinbo ya mtandaoni ya Meridianbet iliyo orodheshwa hapo juu, katika kipindi cha kuanzia tarehe 07.09 hadi 21/09/2023 hadi saa 23:59:59
Kila dau la jumla la TZS 2,500 litakupatia pointi 10
Kila mzunguko utakupatia pointi 1
Jedwali la uongozi litasasishwa kwenye ukurasa huu wa matangazo kila siku ifikapo saa 13:00
Wachezaji wote waliosajiliwa kwenye meridianbet.co.tz wana nafasi ya kushiriki katika promosheni hii
Pointi zinapatikana kwa kucheza kwa kutumia pesa halisi tu; kucheza demo haitahesabiwa kwenye kukusanya pointi.
Meridianbet inaweza kubadilisha sheria za uendeshaji, kumaliza, au kumtoa mchezaji wakati wowote endapo atavunja sharia na taratibu za shindano hili.

NB: Promosheni ya Aviator imerudi kivingine, mazawadi kibao kutolewa, kuna Simu mpya, na Vocha yakufanya shopping Simba Supermarket. Paa Juu huku ukipanda na mawazadi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad