JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BEACH PENALTY MKWANJA NI WAKO LEO

Share This

 


KAMA unataka kuondoka na kitita sehemu ni moja tu leo ya kuhakikisha unaondoka na mkwanja wa kueleweka ni pale Tovuti ya Meridianbet ambapo utacheza mchezo wa Kasino wa kibabe wa Beach Penalty.

Kwa kila pigo moja lina odds zake za ushindi ambazo zitajumlishwa na dau lako uliloweka kuchezea, kama ulikuwa una

waza ni mchezo gani wa kucheza, nikushauri tu ujaribu mchezo huu mpya wa kasino ya mtandaoni.

Beach Penalties ni mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni unaoweza kucheza kwa dau dogo Zaidi, la kuanzia Tsh 100, huku kila penati utakayopata inahesabaiwa na odds kubwa za ushindi.

Jisajili na Meridianbet kufurahia mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, wakati ambao unaweza kuwa tajiri mkubwa kwa kupiga penati 5 tu. Mchezo huu pia dau la mwisho kucheza ni Tsh 100,000/=

Jinsi ya Kucheza Mchezo Huu.
Njia rahisi ya kucheza na kushinda kwenye mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, ni kama ifuatavyo

Hatua ya kwanza: utafungua mchezo kupitia tovuti ya Meridianbet kasino, kisha utaandika Beach Penalties.

Hatua ya Pili: Utachagua kipa/ mlinda mlango ambapo wanakuwa wanne.

Hatua ya Tatu: Unachagua Level unayotaka kucheza, tambua mchezo huu wa kasino ya mtandaoni una level 3, ambayo ni Expert Scorer, Regular Scorer na Goal Keeper Scorer.

Hatua ya nne: Utaweka dau lako unalotaka kucheza, mchezo huu unaruhusu kuanzia dau la Tsh 100 hadi 100, 000/=

Baada ya kufanya yote hayo, kabla hujapiga mkwaju wa Penati, unatakiwa kuchagua upande ambao uelekeo ya mpira unataka kwenda, kisha utabonyeza kitufe cha mpira, hapo tayari unakuwa umeanza safari ya ushindi.

NB: Jisajili na Meridianbet, cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad