JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAMILIONI NJE NJE LEO KUPITIA UEFA NATIONS LEAGUE

Share This

 

UNATAKA kua milionea mpya mjini? Jibu ni moja tu ni kupitia michuano ya Uefa Nations League ambayo inaendelea kupigwa, Meridianbet wamehakikisha unakua milionea kwani wamemwaga Odds za kutosha kupitia michuano hii.

Michuano hii ambayo inapigwa kipindi hiki ligi zimesimama ndio imekua mkombozi wa wabashiri, Uefa Nations League ina michezo ya kibabe kwelikweli lakini pia wabashiri wengi wanapiga mikwanja kutokana na machaguo zaidi ya 1000 yaliyowekwa na mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet.

Baada ya kushinda michezo yao ya awali leo wanakutana katika mchezo wao wa tatu kwenye michuano ya Uefa Nations League ni timu ya taifa ya Uholanzi ambayo watamenyana na timu ya taifa ya Ujerumani leo.

Timu ya taifa ya Uingereza leo itashuka dimbani kumenyana na timu ya taifa ya Finland mchezo ambao Uingereza wanapewa nafasi ya kuibuka na ushindi, Hivo unaweza kumuwekea ubashiri wako Uingereza uondoke na mkwanja.

Mchezo mwingine ambao utapigwa leo kwenye michuano ya Uefa Nations League na unaonekana utakua na ushindani mkubwa ni mchezo kati ya timu ya taifa ya Ukraine dhidi ya timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech, Mchezo huu umepewa Odds nono sana pale Meridianbet.

Timu ya taifa ya Albania watakua nyumbani kumenyana na timu ya taifa ya Georgia ambao wametoka kutoa kichapo kizito mchezo uliopita, Leo wanamenyana na Albania ambao pia walipata matokeo ya ushindi mchezo uliomalizika hivo mchezo wa leo utakua na ushindani mkubwa kwelikweli.

Endelea kufurahia kubashiri na Meridianbet mabingwa wa michezo ya kubashiri ambao wanatoa ODDS BOMBA kuliko sehemu yeyote ile, Lakini pia machaguzi mengi zaidi ya 1000 Bashiri sasa michezo itakayopigwa wikiendi hii uweze kupiga mkwanja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad