JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Rais Samia azungumza na Wananchi Wilaya ya Hanang kwenye mkutano wa hadhara Katesh Mkoani Manyara

Share This


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Hanang kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Katesh Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023. Rais Samia alifika Katesh kwa ajili ya kuwapa pole wananchi wa maeneo hayo ambao wameathirika na mafuriko yaliyotokea hivi karibuni.

 




Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Katesh Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023.







Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Fredrick Sumaye akiwa pamoja na viongozi wengine wakati wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Katesh Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad