Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko ( wapili kutoka kushoto) akipewa elimu na Mhasibu Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Usimamizi wa Sarafu BoT, Bw. Omary Kitojo, kuhusu alama za usalama za noti zetu.
Afisa kutoka Tawi la BoT Arusha, Bi. Leah Ombeni, akitoa elimu kuhusu utambuzi wa alama za usalama za noti zetu kwa wananchi waliotembelea banda la BoT katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
Afisa kutoka Idara ya Mawasiliano BoT, Bw. Faki Matauka, akielezea jambo kuhusu utambuzi wa alama za usalama za noti zetu kwa wananchi alietembelea banda la BoT katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Mafunzo kutoka Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania, Bi.Tulla Mwigune, akitoa elimu kuhusu Chuo cha Benki Kuu kwa wananchi waliotembelea banda la BoT katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment