jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

RAIS WA ZANZIBAR DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMEKUTANA NA WAKURUGENZI WA KUU WA MIFUKO YA HUDUMA TANZANIA

Share This

_DSC4156


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Wakurugenzi Wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Huduma za jamii Tanzania Bara na Zanzibar (kushoto pichani) walipofika kusalimiana nae Ikulu jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 22/10/2021. 

_DSC4161

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Wakurugenzi Wakuu wa Mifuko ya Hifadhi za jamii Tanzania Bara na Zanzibar walipofika kusalimiana nae Ikulu jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 22/10/2021.
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad