JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WAZIRI MKUU, MAJALIWA AKUTANA NA MAWAKALA WA FORODHA NA BANDARI.

Share This
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiingia kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dares salaam kuzungumza na wawakilishi wa Mawakala wa Forodha na Bandari leo Machi 21, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipekuwa baadhi ya nyaraka zinazoonyesha jinsi wizi wa fedha za serikali  uliofanywa kwenye  bandari ya Dar es salaam  ukihusisha mabenki wakati akizungumza na  Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo.
Baadhi ya Mawakala wa Forodha na Bandari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salam leo Machi 21, 2016.
Kamishna  wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, (TRA), Alphayo Kidata akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali zilizozuka katika mkutano na Waziri Mkuu
 (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad