JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI

Share This
Magufuli kila kona duniani. Wengi waguswa na utendaji kazi wake, wataka viongozi wa Afrika kumuiga.
SIMU.TV:  Siku 35 za Magufuli. Vigogo 78 wafyekwa, kasi yake yawatia wengi tumbo joto. CCM yampa baraka kutumbua majipu; https://youtu.be/mZba3DzjuvU
SIMU.TV:  Geti namba 5 kichaka ufisadi bandari. Mgombea CUF Mbagala ashinda pingamizi.  Daktari wa Tanzania apeta kimataifa; https://youtu.be/lSTzVW2uL08  
SIMU.TV:  Yanga kama Magufuli. Azam yaipiga mkwara Simba. SECAFA inahitaji mipango mipya. Stars under 15 yarejea Dar; https://youtu.be/-te0uv3RjP4  
SIMU.TV:  Pata habari motomoto zilizotawala katika magazeti ya leo Disemba 9.2015 hapa Simu.tv;https://youtu.be/EpSCvEEWeDM

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad