Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu (United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi (wa pili kutoka kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (wa tatu kutoka kulia), pamoja na Viongozi Wengine wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Safari za ndege za shirika la Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi leo mchana, katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere (JNIA).
Magari
ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari
za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana
katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere (JNIA).
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na
Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania,
Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za
Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana.
(HABARI PICHA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-UCHUKUZI).
No comments:
Post a Comment