JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


FEDHA ZA 9 DISEMBA ZAANZA UJENZI WA KUPANUA BARABARA MWENGE-MOROCCO JIJINI DAR

Share This


Scaveter ikisafisha sehemu ya barabara kuanzia Mwenge hadi Morocco kwaajili ya upanuzi wa barabara mbili zinazojengwa kwa fedha ambazo zilitakiwa kutumika katika sherehe za uhuru ambazo hufanyika kila mwaka Disemba 9 ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli kazi hiyo imeanza kutekelezwa leo jijini Dar es Salaam.
Vijana wakigombania bango ambalo limevunjwa katika upanuzi wa barabara kuanzia Mwenge hadi Morocco leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanul Massaka wa Globu ya jamii).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad