JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI NOVEMBA 3, 2015.

Share This
Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni Mchana Huu November 3, 2015.

Watu 6 wamefariki dunia na 1 kujeruhiwa katika matukio 4 tofauti yaliyotokea mkoani Singida toka oktoba 31 na November 1.

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama Vya siasa nchini Peter Mziray avishauri vyama vya siasa kutumia baraza hilo kutatua Migogoro kwa Njia ya Mazungumzo. https://youtu.be/Z90lI_ga7Mg

Wahamiaji Haramu raia Wa Ethiopia waliokamatwa wakiwa ndani ya lori wamehukumiwa kutumikia kifungo cha miezi 6 jela au faini ya laki 5  https://youtu.be/xc637Ykh6Mw

Halmashauri ya wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imefanikiwa kutatua baadhi Ya changamoto zinazoikabili sekta ya Kilimo kwa kuongeza idadi ya Afisa Ughani. https://youtu.be/nqk4rGU6hvE

Kamati kuu Ya Chama Cha Mapinduzi CCM imetangaza kurudiwa kwa zoezi la kura za maoni katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Handeni. https://youtu.be/RVTSjWOxPGc

Aliyekuwa mgombea Uraisi CCK aliyeenguliwa na NEC Dkt. Godfrey Malisa akusudia kuwania nafasi ya Spika wa Bunge. https://youtu.be/m4gnvAcUJn4

Kukusekana kwa Umeme na Huduma za Maji kumetajwa kukwamisha maendeleo ya wanafunzi wa mchepuo wa sayanzi katika Shule Ya Wel Wel. https://youtu.be/PcmWUOA-v-o
Raisi Jakaya Kikwete azungumzia ushindi wa ccm kuwa umetokana na kazi kubwa iliofanywa na vijana katika kuhakikisha ushindi wa Kishindo kwa Dkt. Magufuli huku akiviponda baadhi ya Vyombo vya Habari kuegemea Upande wa wapinzani na kunyima Fursa ya wananchi kusikia Sera za Chama Cha Mapinduzi. https://youtu.be/OoQicJcNJAI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad