Baadhi ya Wagonja walifikishwa Hospitali hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kupata maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu).
Mwandishi wa Habari Rahma Suleiman akichukua maelezo kwa Mgonjwa aliyefika katika kituo hicho mara baada ya kupata hujambo.
Naibu Waziri wa Afya Mahmoudu Thabiti Kombo akionyesha ramani ya maeneo yanayoathiriwa zaidi na ugonjwa wa maradhi ya matumbo.
Naibu Waziri wa Afya Mahmoudu Thabiti Kombo akipata maelezo kwa Dkt. Dhamana Fadhili Ramadhan wakati alipotembelea wagonjwa wa maradhi ya kuharisha (kipindupindu) katika kituo cha Afya kiliopo Sheha ya Karakana.
No comments:
Post a Comment