JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 27, 2015.

Share This
Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni October 27, 2015.

Wakazi Wa Kata Ya Saranga jijini Dar Jana wamefanikiwa  kupiga kura ya mbunge na Raisi baada ya kuahirishwa kwa zoezi hilo Oktoba 25. 

Matokeo ya uchaguzi katika jimbo la Mtwara mjini Yametangazwa na msimamizi wa jimbo hilo huku kukiwa na hali ya Vurugu. https://youtu.be/CY2Y2WnYkaM

Jeshi la polisi Visiwani Zanzibar limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wafuasi wa CUF waliokusanyika katika ofisi za CUF. https://youtu.be/944jzWlWh6k
Mwenyekiti wa Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi NEC Jaji. Damian Lubuva akemea baadhi ya watu wanaotangza Matokeo katika Mitandao ya Kijamii. https://youtu.be/Zg-spuDs1Ks

Haya ndiyo matokeo ya Uchaguzi mkuu ya Uraisi Mkoani Pwani jimbo la Chalinze ambapo mgombea Uraisi CCM akipata asilimia 69.70 na Lowassa akipata asilimia 28.53. https://youtu.be/HsdD_2j3w_8

Haya ndio Matokeo halali ya Uraisi Mkoa wa Kusini Pemba Jimbo la Chwanga visiwani Zanzibar. https://youtu.be/OKEVQQ_WZno
haya ndio matokeo halali ya Nafasi Ya Uraisi Mkoa Wa Mjini Magharibi jimbo la Chumbuni visiwani Zanzibar. https://youtu.be/u6lwnYXuBSI
Haya ndio matokeo halali ya Nafasi ya Uraisi mkoa wa Mbeya Jimbo la Ileje kama ilivyotangazwa na Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi NEC. https://youtu.be/13vTh4vVWXQ
Oscar Rwegasira Mukasa wa CCM aibuka mshindi wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Biharamulo Magharibi. https://youtu.be/q_LAhUNBeSc

Musoma mjini jimbo lililokuwa likishikiliwa na Vicent Nyerere limetwaliwa na Ndg. Vedastus Manyinyi wa CCM kwa kishindo cha asilimia 55. https://youtu.be/oKt6jChBHSs

Zitto Zuberi Kabwe aibuka kidedea kwa ushindi wa asilimia 52 katika jimbo la Kigoma Mjini Uchaguzi mkuu. https://youtu.be/W3rx9Cw969g

Ndg. Daniel Nsanzugwanko ambwaga Moses Machali wa ACT kwa asilimia 52 na kunyakua jimbo la Kasulu mjini mkoani kigoma. https://youtu.be/zawE1FlbXfk
Haya ndio matokeo halali ya Nafasi ya Uraisi mkoa wa Kaskazini Unguja Jimbo la Kijini kama ilivyotangazwa na Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi NEC. https://youtu.be/BT_9iEvy8tA
Haya ndio matokeo halali ya Nafasi ya Uraisi mkoa wa Mkoa wa Tanga Jimbo la Kilindi kama ilivyotangazwa na Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi NEC. https://youtu.be/NQFWV2JWQd8

Haya ndio matokeo halali ya Nafasi ya Uraisi Mkoa Wa Tanga Jimbo La Korogwe Mjini Tanga kama ilivyotangazwa na Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi NEC. https://youtu.be/AH3_q7X8Gi4
Haya ndio matokeo halali ya Nafasi ya Uraisi Mkoa Wa Mjini Magharibi Kwahani kama ilivyotangazwa na Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi NEC. https://youtu.be/VT8Q3C7RwZI

Tume ya taifa ya uchaguzi NEC leo itaendelea kutangaza matokeo ya uraisi katika ngazi ya majimbo nchini kote kuanzia saa 3 asubuhi. https://youtu.be/AEOM3qkVvTU
Matokeo Ya Uchaguzi Mkuu Uliofanyika oktoba 25 yameendelea kutangazwa huku yakionesha mchuano mkali kati Chama Cha CCM na CHADEMA. https://youtu.be/UnAp-4RP9C8

Chama Cha Mapinduzi Visiwani Zanzibar kimeiomba Tume Ya Uchaguzi ZEC kufanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi na sio kwa kushinikizwa. https://youtu.be/Mc_E2Hlvbz8

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad