NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
Wakati
wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua
viongozi wa hawamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo
yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda
amri jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwa kupitia
njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma
Africa band aka FFU-ughaibuni chini ya uongozi wake mtunzi gwiji kamanda
Ras Makunja wameshua nyimbo mbili za kumuaga Rais Jakaya KIkwete na
kuyaimba baadhi ya aliyoyafanya katika hawamu ya Nne.
Pata burudani kwa kusikiliza nyimbo hizi at:
No comments:
Post a Comment