JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 20, 2015.

Share This
Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni  October 20, 2015.

Kamati ya Saidia Taifa Stars ishinde yatoa dira kuhakikisha timu hiyo inashinda   katika michezo yake ya kimataifa ;https://youtu.be/x5PxjRc9zpY

Shirikisho la soka Ulaya UEFA yatangaza ratiba ya mechi za mchujo za timu zitakazowania   kufuzu kucheza finali  za Ulaya mwakani nchini Ufaransa ; https://youtu.be/aq31NLL6HHg

NEC imewatahadharisha wananchi kuwa hakuna kifungu cha sheria kinachoruhusu mtu kubakia katika kituo cha kura baada ya kuoiga kura;  https://youtu.be/AGlLlvVXmdM

Tambua sababu zinapolekea ugonjwa wa figo ambao umeonekana kuathiri kundi kubwa la watu hapa Nchini,kama anavyotueleza Dk.John; https://youtu.be/b9gESJoPPwg

Fuatilia ujue Vipaumbele vya vyama mbalimbali kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu vinazingatiwa?:https://youtu.be/X_0dHoFR_jU

Fuatilia namna ambavyo watanzania walivyojipanga kuhakikisha Nchi inakuwa na amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu: https://youtu.be/hq0__StJoM4
Tambua Mchango wa vyombo vya habari katika kutuliza vurugu katika wakati huu wa kuelekea uchaguzi Mkuu zikiwa zimesalia siku 4 tu:  https://youtu.be/c0UldkD7TcE

Fuatilia muamko wa wananchi baada ya kusambazwa kwa elimu ya kupiga kura zikiwa zmesalia siku chache kuelekea uchaguzi mkuu: https://youtu.be/nGtbDZVIBxc

Mgombea Uraisi CCM Zanzibar Dkt. Ali Shein awaahidi wananchi kuendeleza mradi mkubwa wa viwanda Wa FUMBA kusaidia ajira kwa Vijana. https://youtu.be/VAF-4N0L09Q
Mgombea Uraisi CCM Dkt. John Magufuli aahidi kupambana na wavuvi haramu katika Ziwa Viktoria endapo atapata ridhaa ya wananchi. https://youtu.be/QPgoO8cztgw
Mjumbe wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa Balozi Ali Abeid Karume asema wananchi wa Zanzibar wana mamlaka kamili ya kuchagua kiongozi wanayemtaka. https://youtu.be/PaTFO8jhyo8
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Raisi Jakaya Kikwete amezindua awamu ya pili ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa vita ndani ya kamandi ya anga Ngelengele. https://youtu.be/ll36RCNB_qo

Jeshi la polisi nchini limewahakikishia wananchi kuwa limejipanga vema kuhakikisha ulinzi na usalama katika vituo vya kupigia kura. https://youtu.be/e2HOVGUBcLw

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA yavitaka vyombo vya habari kutoa habari zenye kuelimisha na kudumisha amani. https://youtu.be/nyZxEAcu9wc 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad