JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 16, 2015.

Share This
SIMUtv: Utambue mpango wa kujitolea kuwasaidia watanzania kiafya ikiwemo magojwa ya saratani ya matiti na magojwa mengine yasioambukizwa:Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni October 17, 2015.

SIMUtv: Fuatilia namna ambavyo vuguvugu la kampeni za uchaguzi Mkuu linavyoweza kusababisha vurugugu siku ya uchaguzi https://youtu.be/EUyKaqh2fgQ

SIMUtv: Tambua ni kwa kiasi gani sera za wagombea kutoka vyama mbalimbali zimegusia saula la kupunguza ajari za barabarani: https://youtu.be/hnHRM2cXuY4

SIMUtv: Fuatilia namna serikali ilivyojipanga kulinda amani ya Nchi zikiwa zimesalia sikiu chache kuelekea uchaguzi Mkuu: https://youtu.be/otIRUog8MTY

SIMUtv: TFF yaunda kamati maalumu itakayoshugulikia mwenendo na maandalizi ya timu ya soka Taifa Stars kukabiliana na michuano ya kimataifa https://youtu.be/H5oCwIy6gcc

SIMUtv:  Mgombea uraisi CCM Dkt. Magufuli aahidi kudumisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioanzishwa na Baba Wa Taifa https://youtu.be/_ReVGfr6qHI

SIMUtv: Waangalizi 86 wa Uchaguzi toka Nchi wanachama wa SADC kutawanywa katika mikoa 25 kuangalia mwenendo wa Uchaguzi Mkuu https://youtu.be/vRovhW4YHSU

SIMUtv: Mgombea Uraisi CHADEMA adai tume ya Taifa NEC kuwa chanzo cha kusababisha vurugu endapo itashindwa kubainisha idadi ya wapiga kura. https://youtu.be/JU-OUxS5rvI
SIMUtv: Serikali kupitia mfuko wa bima ya afya wafungua kituo cha afya mkoani Dodoma itakayosaidia kuongeza wigo wa huduma za figo nchini https://youtu.be/jSYcr4neIGM
SIMUtv: Kutotambulika  kisheria kwa wasaidiza wa sheria nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa wananchi kushindwa kupata haki zao kwenye vyombo vya sheria; https://youtu.be/tv-fKzYyGvA

Serikali yasaini mkataba na serikali ya China kwajili ya mradi wa ujenzi wa barabara za juu  katika eneo la TAZARA;https://youtu.be/oHaYxYCvtsc

SIMUtv:  Serikali kupitia mfuko wa bima ya afya wafungua kituo cha afya mkoani Dodoma itakayosaidia kuongeza wigo wa huduma za figo nchini https://youtu.be/jSYcr4neIGM
SIMUtv: Kutotambulika  kisheria kwa wasaidiza wa sheria nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa wananchi kushindwa kupata haki zao kwenye vyombo vya sheria; https://youtu.be/tv-fKzYyGvA

SIMUtv: Serikali yasaini mkataba na serikali ya China kwajili ya mradi wa ujenzi wa barabara za juu  katika eneo la TAZARA; https://youtu.be/oHaYxYCvtsc

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad