Familia ya Bw. Abbas Elias Machimu wa Vijibweni Dar Es Salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mzee Abbas Elias Machimu (Pichani)kilichotokea siku ya Jumatano tarehe 28/10/2015. Maziko yatafanyika Ijumaa tarehe 30/10/2015 huko Kisiwani Vijibweni. Habari kwa ndugu, jamaa na marafiki popote walipo. Bwana alitoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Amina.
No comments:
Post a Comment