JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


TANZIA

Share This

Familia ya Bw. Abbas Elias Machimu wa Vijibweni Dar Es Salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mzee Abbas Elias Machimu (Pichani)kilichotokea siku ya Jumatano tarehe 28/10/2015. Maziko yatafanyika Ijumaa tarehe 30/10/2015 huko Kisiwani Vijibweni. Habari kwa ndugu, jamaa na marafiki popote walipo. Bwana alitoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.



 Amina.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad