JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAONESHO YA UZURI, MAVAZI, SANAA NA UREMBO.

Share This
 Mwandishi F Macha na msanii wa ACD Arts toka Uganda, Steve Kasamba. Picha na JJ Adamson wa Africans in London TV.
 Mohammed Juma toka Mombasa akishughulika na nyama choma, ndizi mzuzu za kuoka.
 Picha ya pamoja (selfie). Kenya na Tanzania
 Mtayarishaji wa maonesho, msanii na mwanahabari, Lydia Olet, akiwa na wacheza sarakasi toka Ghana.
 kenya Lydia Makale akiwa na mwanarapu maarufu wa London, Septimus Prime.
 
 Mwanahabari mkongwe , Deo Kamugisha (wa kwanza kulia) akiwa na Mtanzania Abdallah ( wa kwanza kushoto)  na mwenzake toka Uganda
 Fulana iliyotukuza kujifunza Kiswahili
Bango la kutangaza tamasha hilo la siku moja

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad