JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


KIYABO ATUNUKIWA CHA CHETI CHA ELIMU YA JUU KATIKA MASUALA YA BENKI JIJINI DAR ES SALAAM

Share This
 Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Natu Mwamba akizungumza katika mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Mhitimu wa Cheti ya Cha Juu katika Masuala ya Benki,Yahya Kiyabo akitunukiwa cheti na   Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Natu Mwamba  wakati mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Naibu Gavana wa Benki Kuu Nchini (BOT), Dk.Natu Mwamba akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa kozi za juu katika masuala ya benki katika mahafali ya 17 ya Tanzania Institute of Bankers yalifanyika jana katika viwanja vaya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 (Picha na Emmanuel Massaka  Globu ya jamii)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad