JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WILAYA YA DIMANI ZANZIBAR CHAZINDUA KAMPENI.

Share This
 Zuhura Seif Hassan akighani utenzi katika Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM Wilaya ya Dimani zilizofanyika uwanja wa shinyanga karibu na Baraza la Wawakilishi Chukwani nnje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 Mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za CCM Wilaya ya Dimani Waziri kiongozi mstaafu wa Zanzibar Mhe. Shamsi Vuai Nahodha akiwahutubia wananchi waliofika kwenye Mkutano wakuwanadi wagombea wa CCM Wilaya Dimani kabla ya kuwatambulisha kwao.
 Baadhi ya wanachama wa CCM wakisikiliza Mgeni rasmin Mhe. Shamsi Vuai Nahodha (hayupo pichani) alipokuwa akiwahutubia katika Mkutano uliofanyika kiwanja cha shinyanga karibu na Baraza la Wawakilishi Chukwani.
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kiembesamaki kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Ibrahim Raza akiwatambulisha wagombea uwakilishi wa Jimbo hilo, (kulia) mgombea Uwakilishi jimbo la Chukwani Bi. Mwanasha Khamis na (kushoto) mgombea Uwakilishi jimbo la Kiembe samaki. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Waziri kiongozi mstaafu ambae ni Mgeni rasmin katika uzinduzi wa kampeni za CCM Wilaya ya Dimani Mhe. Shamsi Vuai Nahodha (alievaa kofia ya kiuwa wa sita kushoto) akiwanadi wagombea Ubunge, Uwakilishi na Udiwani wa Wilaya ya Dimani kwa wananchi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad