JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


KIBAKA AIPATA JOTO YA JIWE LEO JIJINI DAR

Share This
 Askari wa kampuni ya G1 Security wakimrekebisha mtuhumiwa wa wizi ambaye jina lake halikufahamika mara moja,alinaswa akiwa katika harakati za kutaka kufanya uhalifu  katika Jengo la PAlM RESIDENCE jijini  Dar es salaam.
 Mtuhumiwa wa wizi ambaye alikusudia  kufanya uhalifu  katika Jengo la PAM RESIDENCE jijini Dar es Salaam akitolewa nje na Askari wa kaampuni ya G1 Security.
 Mtuhumiwa wa uharifu katika jengo la PAM RESIDENCE jijini Dar es Salaam.
 Askari wa kaampuni ya G1 Security wakuwa na mtuhumiwa  ambaye jina lake halikupatikana mara moja wakiwa nje ya jengo  PAM RESIDENCE jijini Dar es Salaam.
Mtuhumiwa wa wizi  ambaye jina lake halikupatikana mara moja akihojiwa na Askari wa kaampuni ya G1 Security juu ya jiwe alilokuwa nalo kwenya mfuko  picha na EMMANUEL MASSAKA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad