Zoezi la urejeshaji wa miundombinu ya barabara kuu ya Lindi - Dar es Salaam katika eneo la Somanga Mkoani Lindi ukiendelea ambapo timu ya wataalam kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) wanasimamia zoezi hilo kikamilifu ili kuruhusu mawasiliano kurejea kwa haraka.
Aprili 5,2024 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliongea na wananchi waliokwama katika eneo hilo na kutoa taarifa yakuwa urejeshaji wa miundombinu ya barabara hiyo unatarajiwa kukamilika ndani ya saa 72 na kuweza kuruhusu magari na wananchi kupita katika eneo hilo.
KAZI YA UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA LINDI-DAR IKIENDELEA
Share This
Tags
# HABARI
Share This
Jiachie Blog
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.
No comments:
Post a Comment