JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UTT AMIS YAJA NA SULUHISHO LA MAISHA BAADA YA KUSTAAFU KWA WASTAAFU WATARAJIWA WA WIZARA YA FEDHA KUTOKA MIKOA MBALIMBALI

Share This
Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Bw. Daudi Mbaga akiielezea mifuko ya uwekezaji itolewayo na UTT AMIS ni suluhisho la maisha baada ya kustaafu kwa wastaafu watarajiwa wa wizara ya fedha kutoka mikoa mbalimbali katika semina iliyofanyika katika ukumbi wa wizara ya fedha Morogoro.

Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad