JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


KIKAO KAZI CHA WATENDAJI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, MKOANI DODOMA CHA ONGOZWA NA MASAUNI.

Share This

Watendaji Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakifuatilia kwa makini kikao kazi kilichofanyika chini ya Uenyekiti wake Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni leo Mei 30, 2016 Mkoani Dodoma.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(Mb) akiongoza kikao kazi cha Watendaji Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Kikao hicho kimefanyika leo Mei 30, 2016 katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma(kulia) ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira.
 Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri w Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Maauni(hayupo pichani). Wa pili kulia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP, John Casmir Minja(kulia) ni Naibu Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi, DIGP, Abdulrahmani Kaniki(wa kwanza kushoto) ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji, Victoria Lembeli(wa pili kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Adengenye.
(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad