SIMU.TV: Rais Magufuli ametoa agizo kwa wenyeviti na wakurugenzi kusimamia mashirika ya umma na hukakikisha yanazalisha ili kuingizia taifa faida
SIMU.TV: Mwili wa aliyekuwa mfanyakazi wa Azam Media Ismail Hamza unatarajiwa kusafirishwa kesho na kuzikwa mkoani Morogoro.
SIMU.TV: Jumla ya walemavu 65 nchini wamepatiwa msaada wa miguu mbadala na kampuni ya Kamal Steels kwa lengo la kuwasaidia kutembea. https://youtu.be/aYgsa2IAGLU
SIMU.TV: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amewataka wakazi wa Mkoa huo kujiunga na kituo cha kuwezesha wananchi kujikwamua kiuchumi POSO ili kupata mitaji ya kujiendeleza kiuchumi;https://youtu.be/ 9eiTOAdDYf8
SIMU.TV: Wananwake Mkoani Mbeya walalamikia waume zao juu ya matumizi nabovu ya fedha za TASAF wanazopokea kutoka serikalini; https://youtu.be/wzoJsMdzQSA
SIMU.TV: Rais Magufuli ametoa agizo kwa wenyeviti na wakurugenzi kusimamia mashirika ya umma na hukakikisha yanazalisha ili kuingizia taifa faida;https://youtu.be/_ elnHPUbHyI
SIMU.TV: Hali ya taharuki imeibuka katika mtaa wa Nyasaka B Mkoani Mwanza baada ya mkazi mmoja kumfungia mtoto wa miaka 2 ndani ya nyumba;https://youtu.be/ OVGF2FVs-Jc
SIMU.TV: Serikali yawataka wananchi wote kushiriki katika zoezi la usafi siku ya Uhuru kama kutii agizo la Rais Magufulihttps://youtu.be/ mf611qpGt40
SIMU.TV: Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ametoa siku 3 kwa viongozi wa manispaa za mji huo kuhakikisha wanaondoa taka katika maeneo yao ili kuepukana na mlipuko wa kipindupindu https://youtu.be/BgJzjfICyI4
SIMU.TV: Timu ya soka ya Tanzania chini ya miaka 15 inatarajia kuanza ziara yake ya mafunzo kwa nchi za Afrika Mashariki kwajili ya kujiandaa na michuano ya kimataifa; https://youtu.be/rwZQUGdICoo
TBC: Tanzania imeendelea kupata changamoto uanzishwaji wa ligi ya mpira wa miguu kwa wanawake jambo linalopelekea changamoto kwa wadau wa soka nchini; https://youtu.be/29UzpEUNTWQ
No comments:
Post a Comment