JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


SERIKALI YA MKOA WA IRINGA YAPONGEZA MTANDAO WA MATUKIODAIMA KWA KUHAMASISHA AMANI

Share This
Mkurugenzi na  mmiliki wa mitandao(BLOGU)  ya   www.matukiodaima.co.tz Bw  Francis Godwin  akimkabidhi mkuu  wa mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza stecker za kubandika katika magari na maeneo mbali mbali zinazohamasisha amani kuelekea  uchaguzi  mkuu utakaofanyika Octoba 25  mwaka  huu
Kamanda  wa  polisi  wa  mkoa wa Iringa Ramadhan  Mungi akionyesha sticker za  kuhamasisha amani na  utulivu nchini kuelekea  uchaguzi  mkuu zinazotolewa na mtandao  wa www.matukiodaima.co.tz kwa mkoa wa Iringa na mikoa  mingine hapa  nchini
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Bi Masenza  akisoma ujumbe wa amani  uliopo katika  stecker  hizo  zilizotolewa na mtandao  wa matukiodaima ili  kusambazwa  katika wilaya  zote za mkoa  wa Iringa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad