Mkurugenzi na mmiliki wa mitandao(BLOGU) ya www.matukiodaima.co.tz Bw Francis Godwin akimkabidhi mkuu wa mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza stecker za kubandika katika magari na maeneo mbali mbali zinazohamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba 25 mwaka huu |
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akionyesha sticker za kuhamasisha amani na utulivu nchini kuelekea uchaguzi mkuu zinazotolewa na mtandao wa www.matukiodaima.co.tz kwa mkoa wa Iringa na mikoa mingine hapa nchini |
Mkuu wa mkoa wa Iringa Bi Masenza akisoma ujumbe wa amani uliopo katika stecker hizo zilizotolewa na mtandao wa matukiodaima ili kusambazwa katika wilaya zote za mkoa wa Iringa |
No comments:
Post a Comment