JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


NHIF WATOA MSAADA WA MASHUKA 120 HOSPITALI YA MANISPAA YA TEMEKE

Share This
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wa mkoa wa Temeke (NHIF),Constantine Makala akieleza jambo wakati wa kukabidhi mashuka 120 katika hospitali ya Temeke leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk.Edwin Muhondezi.
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wa mkoa waTemeke (NHIF), Constantine Makala akimuwakilisha kaimu  Mkurungenzi Mkuu wa (NHIF) wa mkoa wa Temeke kumkabidhi msaada wa mashuka 120 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke Edwin Muhondezi leo Jiji Dar es Salaam.
 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke,Dk.Edwin Muhondezi akitoa neno la shukarani baada ya hospitali yake kupata msaada wa mashuka 120 kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika hospitalini hapo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa mkoa wa Temeke (NHIF) wakiwa wameshika shuka ambayo inawasilisha msaada wa shuka 120 zilizotolewa katika hospitali ya Temeke leo jijini Dar es Salaam.
(picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad