JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MUZIKI MNENE BANGO KINONDONI NA KAWE

Share This
93.7. EFM bado inaendelea na matayarisho ya tukio lao la Muziki Mnene Bar Kwa Bar ambalo litaanza kufanyika rasmi kuanziya tarehe 5/09/2015. Muziki Mnene Bango bao inaendelea na ukiwa umeweka bango la EFM kakita sehemu yako ya biashara na bwana E akipita akaona bango hilo huku ukisikiliza matangazo ya EFM utapata kifurushi chenye zawadi na tuvitu vitu kibao. 
 Mshindi wa Muziki Mnene Bango akikabidhiwa zawadi yake na bwana E mr Jimmy Jiam zikiwemo EFM t-shirt na kifurishi chenye vitu mbalimbali baada ya kuweka stika ya EFM kwenye eneo lake la biashara ndani ya soko la kinondoi, Dar es Salaam.
 Mshindi wa Muziki Mnene Bango akikabidhiwa zawadi yake na bwana E mr Jimmy Jiam zikiwemo EFM t-shirt na kifurishi chenye vitu mbalimbali baada ya kuweka stika ya EFM kwenye eneo lake la biashara ndani ya soko la kinondoi, Dares Salaam.
Bango kubwa la 93.7 EFM Muziki Mnene lililowekwa na mmoja wa mashabiki na mshindi wa EFM Muziki Mnene lilimvutia bwana E wakati anapita eneo la Kinondoni, jijini Dar-Es-Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad