Mtaalamu
wa Mawasilano wa Umoja wa Mataifa Tanzania (UN), Hoyce Temu
akizungumaza na MICHUZI BLOG baada ya kutembelea banda la umoja wa
mataifa,katika maonyesho ya kimataifa ya 39 ya kibiashara yanayoendelea
kufanyika katika viwanja Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu
wa Mawasilano wa Umoja wa Mataifa Tanzania (UN), Hoyce Temu akifanua
juu ya namba mbalimbali zitakazo tumika kwa wananchi ili kupata taarifa
mbalimbali zinazohusiana na umoja wa Mataifa-Tanzania, katika viwanja
vya Mwalimu nyererejijini Dar es Salaam.
Afisa
habari wa kituo cha umoja wa mataifa (UNIC),Usia Nkoma Ledama
akifafanua kuhusina na matumizi ya madawa ya kulevya na jinsi umoja wa
mataifa kitengo cha madawa ya kulevya jinsi wanavyopambana mara baada
ya timu ya Michuzi blog kutembelea banda la Umoja wa matafa(UN) katika
maonyesho ya 39 ya kibiashara yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya
Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
Msanii
wa kuchora kitengo cha sanaa wa (ILO), Paulina Kijazi katika banda la
Umoja wa mataifa akizungumza na mwananchi juu ya masuala mbalimbali
kuhusiana na Umoja wa Mataifa katika maonyesho ya sabasaba katika
viwanja vya Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wananchi wakipata maelekezo katika banda la umoja wa
mataifa-Tanzania, katika maonyesho yanayoendelea kufanyika jijini Dar es
Salaam katika viwanja vya Mwalimu nyerere.
No comments:
Post a Comment