JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UMOJA WA MATAIFA WAHUDHURIA MAONYESHO 39 YA KIBIASHARA JIJINI DAR ES SALAAM

Share This
 Mtaalamu wa Mawasilano wa Umoja wa Mataifa Tanzania (UN), Hoyce Temu akizungumaza na MICHUZI BLOG baada ya kutembelea banda la umoja wa mataifa,katika maonyesho ya kimataifa ya 39 ya kibiashara yanayoendelea kufanyika katika viwanja Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
 Mtaalamu wa Mawasilano wa Umoja wa Mataifa Tanzania (UN), Hoyce Temu akifanua juu ya namba mbalimbali zitakazo tumika kwa wananchi ili kupata taarifa mbalimbali zinazohusiana na umoja wa Mataifa-Tanzania, katika viwanja vya Mwalimu nyererejijini Dar es Salaam.
Afisa habari wa kituo cha umoja wa mataifa (UNIC),Usia Nkoma Ledama akifafanua kuhusina na matumizi ya madawa ya kulevya na jinsi umoja wa mataifa kitengo cha madawa ya kulevya jinsi wanavyopambana  mara baada ya timu ya Michuzi blog kutembelea banda la Umoja wa matafa(UN) katika maonyesho ya 39 ya kibiashara yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
 Msanii wa kuchora kitengo cha sanaa wa (ILO), Paulina Kijazi katika banda la Umoja wa mataifa akizungumza na mwananchi  juu ya masuala mbalimbali kuhusiana na Umoja wa Mataifa katika maonyesho ya sabasaba katika viwanja vya Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi wakipata maelekezo katika banda la umoja wa mataifa-Tanzania, katika maonyesho yanayoendelea kufanyika jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Mwalimu nyerere.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad