JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


KAGAME CUP

Share This
 Kikosi cha timu ya Khartoum ya Sudan kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa nusu fainali ya michuano ya kombe la Kagame dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo. Gor Mahi inaongoza kwa magoli 3-1. (Picha na Francis Dande)
 Wachezaji wa timu ya Khartoum wakishangilia bao.
 Kiungo wa Gor Mahia, Innocent Wafulawakichuana na Ahmed Adam Mahmoud. 
 Beki wa Gor Mahia, Karim Nizigiyimana akichuana na Amin IbrahimElmani.
 Mashabiki wa Gor Mahia wakishangilia timu yao.
 Ahmed Adam Mahmoudakiwatoka wachezaji wa Gor Mahia.
 Wagdi Awad Abdalla akitafuta mbinu za kumtoka Mussa Mohammed.
 Golikipa wa timu ya Gor Mahia, Boniface Oluochakiokoa moja ya hatari langoni mwake.
Mashabiki wa Gor Mahia wakishangilia timu yao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad