Yule mgombea mwenye umri mdogo zaidi ambaye siku za karibuni amejizolea
umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii tangu achukue fomu ameanza
kumwaga sera zake ambapo leo anazungumzia kuhusu ambavyo Watanzania
wanatakiwa wafaidike na rasimali pia mipango ya kuboresha huduma za afya.
umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii tangu achukue fomu ameanza
kumwaga sera zake ambapo leo anazungumzia kuhusu ambavyo Watanzania
wanatakiwa wafaidike na rasimali pia mipango ya kuboresha huduma za afya.
No comments:
Post a Comment