JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


DCB BENKI WATOA HISA KWA MAKAMPUNI MBALIMBALI

Share This
  Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa DCB Balozi Paul Rupia akitoa nasaha zake kwa wanahisa wa DCB benki waliohudhulia katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa  DCB benki, Edmund Mkwawa akizungumza na wadau wa hisa katika mkutano uliokutanisha wadau wa hisa ikiwa kwa kipindi chote cha miaka 13 benki hiyo imepiga hatua na kuwa na matawi 8 Dar es salaam na mawakala 113 katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaa jana.
  Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa DCB Balozi Paul Rupia akimpa hundi Afisa Mkufunzi na UTT management & Investor service PLC, Ligwa Temela katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad