Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na Balozi wa Norway
nchini, Hanne-Marie Kaarstad masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Norway
na Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini
Dar es Salaam leo. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi.
Balozi wa Norway nchini, Hanne-Marie
Kaarstad (kulia) akimfafanulia jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias
Chikawe, kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya nchi yake na
Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini
Dar es Salaam leo. Picha zote na Felix Mwagara,
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments:
Post a Comment