
MSIMU mpya unazidi kunoga huku mechi mbalimbali za pesa zikiendelea, Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Je nani unampa nafasi ya ushindi siku ya leo?. Ingia na ubeti sasa.
Meridianbet wanaanza kuiangazia ligi kuu ya Uingereza yaani EPL, ambapo Chelsea atakuwa mwenyeji wa Brighton ambao walishinda kwa kishindo kwenye mtanange wa kwanza wa ligi, hivyo hii ni mechi ambayo kila timu inahitaji kupata ushindi mnono siku ya leo.
Vijana wa Darajani chini ya kocha mkuu Xabi Alonso watakuwa na kibarua kizito cha kukusanya pointi 3 dhidi ya timu hiyo ambayo inaonekana ni ngumu kukabiliana nayo kwani msimu uliopita The Blues walipigika mechi zote mbili walizokutana kwenye ligi.
Meridianbet wanakwambia kuwa hii ni nafasi ya kupiga pesa kwa kumpatia ushindi Chelsea aweze kulipa kisasi akiwa nyumbani au umpatie Brighton ushindi kuendeleza ubabe dhidi ya timu hiyo. Bashiri hapa.
Piga pesa kupitia michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile, Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Lakini pia kule kule kwa wakali waubashiri wanasema kuwa kwa wale ambao hawajajisajili huu ndio wakati wake, usingoje kupitwa na mtanange huu wa moto pale Uingereza. Suka jamvi hapa.
Mechi nyingine ya baadae ya wewe kuondoka na maokoto ni hii ya Manchester United dhidi ya Ipswich Town ambao wamepanda daraja msimu huu kutoka kule ligi daraja la kwaznza wakiwa na matumaini ya kufanya vyema kwenye ligi kuu.
Ikumbukwe kuwa United chini ya Carrick wameanza msimu vibaya sana baada ya kupoteza kwa mabao 2 kwa bili ugenini, hivyo hii mechi yao ya kwanza wakiwa katika dimba la Old Trafford wanahitaji kupata ushindi wao wa kwanza.
Kwa upande wa Ipswich wao walianza vyema ligi kwa kuandikisha ushindi wakiwa nyumbani na sasa watakuwa ugenini kujaribu kupata matokeo chanya mbele ya Mashetani Wekundu. Odds Kubwa zipo mechi hii, hivyo bashiri sasa.
Uwepo wa kikosi kipana cha Man United kinawafanya wapewe nafasi kubwa ya kuondoka na ushindi huku pia faida ya kuwa nyumbani inapelekea wao kuwa wateule wa ushindi kwenye mchezo wa leo. Je wataweza kujinyakulia pointi 3 siku ya leo?. Tengeneza mkeka wako wa ushindi pale Meridianbet.
Kule Italia, SERIE A nayo kama kawaida kitawaka haswa kati ya Napoli dhidi ya Como 1907 ambao kwenye mechi yao kwanza walitoa sare hivyo huu ni mchezo ambao kwa namna moja au nyingine wanautolea macho sana.
Vijana wa Allegri wao waliondoka na pointi 3 wakiwa ugenini hivyo sasa watarejea pale katika dimba la Armando Maradona kusaka ushindi mwingine mbele ya mashabiki zao ambao wanaamini timu hiyo msimu huu inaweza ikagombea taji la Scudetto.
Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho kuonana hawa wawili, hakuna ambaye alikuwa mbabe kati yao na kwenye hizo mechi mbili hakuna ambaye aliweza kuona lango la mwenzake.
Hivyo basi hii mechi ambayo pointi 3 ni muhimu sana kwa wote wawili kwani kama unahitaji uwe kwenye mbio za ubingwa ni vyema ukaanza kupata matokeo mazuri kwenye mechi za mwanzo kabisa. Beti yako unaiweka kwa nani?. Jisajili hapa.


No comments:
Post a Comment