JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Mhe. Ridhiwani Kikwete Awasili Mkoani Mtwara Kuhudhuria Mahafali ya 43 ya TPSC

Share This

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete (Mb.), amewasili mkoani Mtwara kuhudhuria Mahafali ya 43 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Mtwara, yanayofanyika leo Juni 13, 2026.


Mara baada ya kuwasili, Mhe. Kikwete amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Donald William Msengi, pamoja na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.






 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad